WANANCHI WAHIMIZWA KUTUMIA DAWA ZA ASILI
Na Moreen Rojas-Dodoma Mkurugenzi wa kampuni ya Cornwell Tanzania na Daktari wa Tiba Asili Daktari Elizabeth Lema amewahimiza watanzania kutumia dawa za asili na kuwashauri wananchi wanapotafuta tiba waanze kufikiri dawa za kitanzania. Dk.Elizabethi ameyasema hayo wakati akifanya mahojiano maalumu na mwandishi wa J five One line blog katika ukumbi wa Jakaya Convention Jijini Dodoma
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed